Free Support 24/7
+255 743 952 935
Making a movie is a lot like going on a road trip. There are twists and turns and lots of surprises along the way.
Hit the road with author and illustrator Jeff Kinney and get a behind-the-scenes look at the making of the latest 20th Century Fox
Publisher: Penguin Books Limited (UK)
Geography for Secondary Schools, Student's Book Two deals with the broad theme of human activities which are agriculture, water, forests, mining, industry, m-anufacturing, power and energy and transport.
This book is structured to allow as much self
Publisher: E & D Vision Publishers
Is a new course book that comprehensively covers the new 2016 syllabus for primary schools in Tanzania.
This book has:
1. Simple language that makes it easy for the learners to understand the concepts.
2. Numerous, clear and well laid out ill
Publisher: mwanzo Educational Publishers
Ni kitabu cha kiada kwa shule za msingi darasa la saba. Ni kitabu kipya kilichogusa kwa kina muhtasari mpya wa 2016 kwa shule za misingi Tanzania.
Kitabu hiki kina:
1. Lugha nyepesi inayomsaidia msomaji kujifiunza na kuelewa dhana mbalimbali za som
Publisher: mwanzo Educational Publishers
Kitabu kinaeleza Majukumu ya Viongozi wa Mtaa Kijiji na Kata kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizopo.
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Brief summary:
The book, written in Kiswahili, has the following 6 chapters:
1. Ajira na Mamlaka ya Hakimu
2. Wajibu wa Hakimu
3. Malalamiko dhidi ya mienendo ya Mahakimu
4. Maboresho ya utoaji huduma katika Mahakama
5. Wajibu wa serikali na Jamii kw
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Kama jina la kitabu lilivyo, mwandishi anaeleza kwa ufasaha kwa kutumia Kiswahili Sanifu, Utaratibu wa Kufungua Shauri linalohusu Mgogoro wa Ardhi katika Baraza la Ardhi la Kijiji, Baraza la Ardhi la Kata, Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya, Mahamak
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Ufugaji bora wa Kuku ni kitabu kizuri ambacho kimetayarishwa kwa makini kwa ajili ya watu ambao tayari wanafuga kuku wa kienyeji na kuku wa kigeni (yaani, kuku chotara) na wale ambao wangependa kuanza ufugaji wa kisasa wa kuku. Ufugaji wa kuku ni shu
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Uboreshaji wa Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji ni kazi inayohitaji Maarifa na Juhudi ili kupata mazao mengi na yaliyo bora. Wanunuzi hupenda kuku bora, mayai bora na nyama bora ambayo hupatikana kutokana na juhudi ya mfugaji kuweza kuwatunza kuku wake ipa
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Magonjwa ndicho chanzo kikuu cha vifo vya mifugo na umaskini wa wafugaji. Maelfu ya mifugo hufa kila mwaka kutokana na magonjwa. Bila kuugua, mifugo haiwezi kufa .Dhibiti magonjwa ya mifugo ili kuongeza uzalishaji wa maziwa, nyama, mayai, ngozi n.k.
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Kitabu kina maswali 63 na majibu yake, yakiwa katika sura sita zifuatazo:
1. Ajira za Mamlaka ya Hakimu
2. Wajibu wa Hakimu
3. Malalamiko dhidi ya Mienendo ya Mahakimu
4. Maboresho ya Utoaj
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Jifunze Kustawisha MIMEA YA MATUNDA ni kitabu kinachoelezea Misingi Mikuu na Namna ya kustawisha aina kuu za Mimea ya Matunda. Tunda ni zao la mmea linalohifadhi mbegu ambalo hutokana na ua. Baadhi ya aina za matunda ni chenza, chungwa, embe, fenesi,
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Kiongozi ni mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mwenye madaraka au mamlaka juu ya mtu mmoja au watu wengi. Maana nyingine ya Kiongozi ni mtu aliyepewa jukumu la kuongoza mtu mmoja au watu wengi. Mtu mmoja huyo anaweza akawa mwanandoa mwenzie au mtu mmo
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Lengo kuu la mwanaume na mwanamke kufunga ndoa ni kuishi pamoja kwa furaha, kushirikiana, kujiletea maendeleo, kupata watoto na kuwalea pamoja hadi hapo kifo kitakapowatenganisha.
Hata hivyo, ndoa nyingi huzongwa na kutoelewana, kwa viwango tofauti,
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Kusudio la kitabu hiki ni kuweka kumbukumbu ya matukio mbalimbali ambayo, kwa pamoja, yanatengeneza Historia ya
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambao uliasisiwa mwezi Aprili, 1964.
Matukio muhimu yanayozungumziwa katika kitabu hiki, yameoneshwa k
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Jifunze Ufugaji Bora wa Nguruwe ni kitabu kinachowalenga wafugaji wa nguruwe wa aina kuu tatu zifuatazo:Wafugaji wenye uzoefu mdogo.Wafugaji wa ngazi ya kati wanaoinukia katika ufugaji wa kisasa na wa kibiashara na Wafugaji wakubwa wanaofuga nguruwe
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere was the First President and father of the Nation, Tanzania. He was an intellectual, scholar, and a Mwalimu (teacher). He articulated his beliefs and principles. He eloquently shared them in a clear and simple way that
Publisher: UNICORN Publishing Group
Ndugu Pius Bakengera Ngeze (pichani), katika kitabu hiki, Siri ya Binadamu Kuishi Miaka Mingi: Nguzo 72 Zinazoshikilia Uhai Wako, ametumia uzoefu wa umri wake, uandishi na usomaji wa vitabu na machapisho mengine kuwaandikia Wosia binadamu kuhusu jins
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Nyuki ni kitabu kinachotoa maelezo kuhusu jamii ya nyuki, namna ya kuwafuga, kurina asali, utunzaji na uuzaji wa asali na nta
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Samaki ni kitabu kinachotoa mwongozo wa namna ya kufuga samaki kisasa na kibiashara katika mabwawa, matangi,vizimba n.k
Aidha, kitabu kinajadili na kutofautisha aina nne za mifumo ya ufugaji wa samaki.
Samaki ni chanzo cha
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
Kitabu hiki kimeandikwa ili kiwasaidie Wakulima, Maofisa Ugani, Wanafunzi na Wanavyuo kuanzisha aina mpya ya kilimo, yaani, Ustawishaji wa Mbogamboga. Kutokana na wingiwa aina za mbogamboga zilizopo, kitabu kimeandikwa kwamuhtasari. Hata hivyo, hatuk
Publisher: Tanzania Educational Publishers Ltd
For most of the motivational needs constant boost, a daily nurturing.
Nshala's book "Daily leadership Insights" targets that particular need. It has 365 short, powerful, nuggets- particular, useful and inspiring. Highly recommended for all managers-
Publisher: Ntangeki Nshala
Look again . . . Not everything is as it appears to be!
The Bedside Book of Life is a guided tour into the spiritual scheme of life, revealing the intricate pattern of the bigger picture as it unfolds and adds up to your existence. This book will hel
Publisher: HAY HOUSE