Books by Pius B. Ngeze

Showing 1 to 18 of 18 records (1 Pages)
Sort By:
text_showing_page_of_pages
Sort By:

Card List Article

Ufugaji bora wa Kuku ni kitabu kizuri ambacho kimetayarishwa kwa makini kwa ajili ya watu ambao tayari wanafuga kuku wa kienyeji na kuku wa kigeni (yaani, kuku chotara) na wale ambao wangependa kuanza ufugaji wa kisasa wa kuku. Ufugaji wa kuku ni shu

15,000 TZS

Card List Article

Magonjwa ndicho chanzo kikuu cha vifo vya mifugo na umaskini wa wafugaji. Maelfu ya mifugo hufa kila mwaka kutokana na magonjwa. Bila kuugua, mifugo haiwezi kufa .Dhibiti magonjwa ya mifugo ili kuongeza uzalishaji wa maziwa, nyama, mayai, ngozi n.k.

10,000 TZS

Card List Article

Jifunze Kustawisha MIMEA YA MATUNDA ni kitabu kinachoelezea Misingi Mikuu na Namna ya kustawisha aina kuu za Mimea ya Matunda. Tunda ni zao la mmea linalohifadhi mbegu ambalo hutokana na ua. Baadhi ya aina za matunda ni chenza, chungwa, embe, fenesi,

10,000 TZS

Card List Article

Kiongozi ni mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mwenye madaraka au mamlaka juu ya mtu mmoja au watu wengi. Maana nyingine ya Kiongozi ni mtu aliyepewa jukumu la kuongoza mtu mmoja au watu wengi. Mtu mmoja huyo anaweza akawa mwanandoa mwenzie au mtu mmo

10,000 TZS

Card List Article

Jifunze Ufugaji Bora wa Nguruwe ni kitabu kinachowalenga wafugaji wa nguruwe wa aina kuu tatu zifuatazo:Wafugaji wenye uzoefu mdogo.Wafugaji wa ngazi ya kati wanaoinukia katika ufugaji wa kisasa na wa kibiashara na Wafugaji wakubwa wanaofuga nguruwe

10,000 TZS

Card List Article

Ndugu Pius Bakengera Ngeze (pichani), katika kitabu hiki, Siri ya Binadamu Kuishi Miaka Mingi: Nguzo 72 Zinazoshikilia Uhai Wako, ametumia uzoefu wa umri wake, uandishi na usomaji wa vitabu na machapisho mengine kuwaandikia Wosia binadamu kuhusu jins

15,000 TZS

Card List Article

Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Nyuki ni kitabu kinachotoa maelezo kuhusu jamii ya nyuki, namna ya kuwafuga, kurina asali, utunzaji na uuzaji wa asali na nta

15,000 TZS

Card List Article

Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Samaki ni kitabu kinachotoa mwongozo wa namna ya kufuga samaki kisasa na kibiashara katika mabwawa, matangi,vizimba n.k
Aidha, kitabu kinajadili na kutofautisha aina nne za mifumo ya ufugaji wa samaki.
Samaki ni chanzo c

15,000 TZS

Card List Article

Kitabu hiki kimeandikwa ili kiwasaidie Wakulima, Maofisa Ugani, Wanafunzi na Wanavyuo kuanzisha aina mpya ya kilimo, yaani, Ustawishaji wa Mbogamboga. Kutokana na wingiwa aina za mbogamboga zilizopo, kitabu kimeandikwa kwamuhtasari. Hata hivyo, hatuk

10,000 TZS

Card List Article

Outline of the book
The book, written in Kiswahili, has the following 10 chapters:
1. Asili,Historia na Kuenea kwa Migomba.
2. Matatizo ya Kilimo cha Migomba.
3. Aina na Matumizi ya Migomba na Ndizi.
4. Sehemu Kuu za Mgomba,Ukuuaji wake na Mahit

12,000 TZS

Card List Article

A. Outline of the book
The book, written in Kiswahili, has the following 6 chapters:
1. Tabia, Faida na Matatizo ya Ufugaji wa Mbuzi.
2. Uzalishaji wa Mbuzi.
3. Aina mbalimbali za Ufugaji wa mbuzi.
4. Ulishaji wa mbuzi.
5. Malazi ya mbuzi.
6.

15,000 TZS

Card List Article

Maelezo mafupi ya kitabu
Kilimo Bora cha Muhogo ni kitabu ambacho kinaeleza asili, aina, historia ustawishaji Muhogo.
1. Asili, aina na historia ya muhogo.
2. Maumbile, muundo na matumizi ya muhogo.
3. Mzunguko wa maisha ya mmea wa muhogo na mazi

10,000 TZS

Card List Article

A. Outline of the book
The book, written in Kiswahili, has the following 12 chapters:
1. Asili na Kuenea kwa Chai duniani
2. Asili na Kuenea kwa Chai katika nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki.
3. Hali ya Kilimo cha Chai nchini
4. Uanzishaji wa B

15,000 TZS

Card List Article

Alizeti ni moja ya mazao makuu ya biashara yanayostawishwa hapa nchini. Mbegu zake hutoa mafuta asilimia 35-45 na mashudu yake hutumika kulisha mifugo. Mafuta daraja la kwanza hutumika kupikia chakula cha binadamu na ya daraja la pili hutumika viwand

15,000 TZS

Card List Article

A. Outline of the book
This book written in Kiswahili, has 13 chapters:
1. Historia ya kuenea kwa maharage katika Afrika.
2. Umuhimu na faida za maharage.
3. Sehemu kuu za mmea wa maharage.
4. Aina kuu za maharage.
5. Mambo ya kuchunguza mahali

10,000 TZS

Card List Article

A. Outline of the book
The book, written in Kiswahili, has the following 8 chapters:
1. Mmea na mahitaji ya kimazingira.
2. Utayarishaji wa shamba, uchimbaji wa Mashimo, uchaguzi wa mbegu Vikonyo na upandaji.
3. Mambo ya kuzingatia katika utunzaj

10,000 TZS

Card List Article

A. Outline of the book
The book, written in Kiswahili has the following 6 chapters
1. Asili, Aina kuu, Mmea, Jamii na Mahitaji muhimu.
2. Umuhimu na Faida za Minazi.
3. Uanzishaji na Utunzaji wa Kitalu.
4. Utayalishaji wa Shamba,Upandikizaji wa

10,000 TZS

Card List Article

A. Outline of the book
The book, written in Kiswahili, has the following 7 chapters
1. Asili, Mmea, Aina, Uzalishaji, Faida na Mahitaji muhimu kwa ustawishaji mzuri.
2. Njia Kuu za Ustawishaji wa Mpunga, Uchaguzi na Utayarishaji wa Mbegu na Ukuaji

10,000 TZS