Card List Article
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Uraia na Maadili kuanzia Oarasa la Tatu hadi la Saba, kilichoandaliwa mahususi kwako mwanafunzi wa Oarasa la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na Muhtasari wa Somo la Uraia